Kikundi cha Walevi wa Pombe na wa Madawa

Watu wenye tatizo la pombe au ma dawa hutumwa na AMHT kwenda  katika kikundi cha walevi wa Pombe (AA) au walevi wa Madawa (NA).

Kikundi hiki huwasaidia watu ili kuwapa moyo na kuendelea kutotumia. Kikundi kinaongozwa na washauri wawili (John na Frank).

Mikutano hufanyika katika Kanisa la Arusha Community Church na Kanisa Katoliki Monduli.

Arusha Community Church:

Siku

Mukutano

Luha

Muda

Jumatatu

Kikundi cha Walevi

Kiswahili

Saa 11 jioni  

Jumanne

Kikundi cha madawa

Kiingereza

Saa 7 mchana & 11 jioni

Alhamisi

Kikundi cha walevi

Kiswahili

Saa 7 mchana

Alhamisi

Kikundi cha madawa

Kiswahili

Saa 11 jioni

Ijumaa

Kikundi cha walevi

Kiswahili

Saa 11 jioni

Jumamosi

Kikundi cha walevi

Kiswahili

Saa 4 asubuhi

 

Kanisa la Arusha Community Church lipo jirani na hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre. Katikati ya mji, kaskazini ya stendi ya mabasi na magharibi ya hoteli ya Golden Rose.

 

 

Kanisa Katoliki Monduli:


Siku

Mikutano

Lugha

Muda

Jumapili

Kikundi cha walevi

Kiswahili

Saa 10 jioni 

Jumatatu

Kikundi cha walevi

Kiswahili

Saa 9.30 jioni

Jumatano

Kikundi cha walevi

Kiswahili

Saa 9.30 jioni

 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na:
Simu: Frank +255 755 900119     or John +255 754 428677
Barua pepe: frankfocas@yahoo.com

 

Changia

Kujiunga na kundi la marafiki na wafadhili wetu na kupata jarida la habari kwa barua pepe, tafadhali andika kwa info@amht.co.tz

Kama wapenda kutoa mchango, tafadhali bonyeza hapa.