Trust

 Arusha Mental Health Trust ni kampuni isiyo ya kifaida na ilisajiliwa rasmi kwa kadiri ya sheria za Tanzania tarehe 27/04/2004.

Kama Trust, Malengo ya AMHT ni:

 

Uwazi
Taasisi hii imeanzishwa maalumukwa ajili ya kuondoa umaskini au pia kwa ukuzaji wa elimu kadiri ya sehemu ya 5 ya kodi ya mapato, No: 33 ya mwaka 1973, na sehemu ya 10 ya sheria ya VAT, No: 24 ya mwaka 1997.

Bodi ya utawala ya wamiliki watatu na tustii watano hukutana kila mwaka kwa ajili ya maamuzi ya kanuni/sheri na mwelekeona pia kwa tathmini.

 

Changia

Kujiunga na kundi la marafiki na wafadhili wetu na kupata jarida la habari kwa barua pepe, tafadhali andika kwa info@amht.co.tz

Kama wapenda kutoa mchango, tafadhali bonyeza hapa.